Header Ads

Mtoto na mamae

*Mama:*  _Mwanangu hebu chukua simu umpigie babako umwambie chakula kiko tayari._
*_(Mtoto kachukua simu kisha kampigia babake)_*
*Mama:* _Mwanangu babako kasemaje?_
*Mtoto:* _Aahh, mama simu ya baba ilipokelewa na mwanamke sio Baba._
*Mama:* _Subiri arudi atanitambua Leo._
*_(Kidogo kidogo hivi baba akarudi nyumbani, alipoingia tu akakutana na Sufuria ya Kichwa, Kabla akae kwenye kiti akapewa Kofi ya Mwiko. Kisha Mama kamuuliza Mtoto)_*
*Mama:* _Mwanangu ulivyo mpigia babako simu huyo Mwanamke aliyeipokea alisema Nini?_
*Mtoto:* _Alisema_
*_"Samahani Mteja Wa Nambari Uliyo Piga Hapatikani Kwa Sasa!!"_

No comments

Powered by Blogger.