Header Ads

Mchachuko sehemu ya 25

MCHACHUKO…(25)
MTUNZI…EMMANUEL F. KWAY
Contanct…+256756 322432
AGE..(18+)
ILIPOISHIA

baada ya kuipapasa kwa muda kidogo alihisi kidogo kidogo inaanza kuwa ngumu na hapo kujua teyari kasha mkamata na hana ujanja wowote ule,
alimfungua vifungo vya shati lake kwa kutumia ulimi alianza kulamba chuchu hapo kifuani mwa Adrian, hapo ndipo Adrian aliye jifanya Mgumu alianza kuwa mlaini kama mafuta au mkate wenye SIAGI uliowekwa ndani ya chai ya maziwa.
Alianza kuhema juu juu huku akiyafumba macho yake, Mourine aliligundua hilo na safari hii kuanza kufungua zipu taratibu na kutoa Tango la Adrian, lililokua teyari lime simama imara kama msumari wa zege na kufanya misuli itokeze kwa pembeni yake….

SONGA NAYO.
Alikua hana tena ujanja  hakua na ubishi tena alikua ni kama mbuzi aliyekua machinjioni ana chinjwa au Nguruwe aliye pigwa rungu la kichwa,
hakua na uwezo wa kusema chochote kitu, damu ilimwenda sana mbio, baada ya Mourine kumpandia  juu yake,  alikamata tango na kulikombatia sawa sawia,
na moja  kwa moja kuliweka mdomoni na kuanza kulilamba vizuri kabisa huku akiya kusanya mate yake mdomoni ili mambo yawe rahisi,
alikumbuka ule msemo unaosema ‘raha ya pipi mate’ basi hapo ndipo alipozidisha mate mdomoni mwake huku taratibu akianza kulichua tango,
alijua ni jinsi gani Adrian aliyekua amelala chali anaweweseka sana kwa raha alizokua akihisi, ni kupitia tu macho yake yalivyo mlegea na kubadilika na kuwa na rangi nyekundu,
Taratibu alimvua suruali yake na boxa kufuatia alimfuata na kumvua nguo ya juu na hapo ndipo Adrian alipokua kama ametoka kuzaliwa alikua yupo uchi wa mnyama.
Alishajua ni jinsi gani mwanaume huyo alivyokua akipata taabu! ni mihemo tu ya juu juu ndio iliyo mpa jibu lake kamili, ndani ya mtima wake alijiona mshindi sana kama mwanamke ilikua ni lazima aongeze njonjo,
Alizidi kucheza na mwili huo huku akizidi kunyonya KOKI kwa muda mrefu kidogo, baadaye kidogo alimuona Adrian ana anza kufumba macho yake,, Alisha jua nini kina fuata hapo baadae, alishajua kuwa WAZUNGU wanakaribia kutoka na kuzidisha kasi ya kuichua koki hiyo alivyoona wazungu wanakuja alitegesha kifua mbele na risasi kuruka moja kwa moja na kutua kifuani mwa Mourine juu ya maembe. Na kumfanya Adrian atabasamu kidogo na kumpiga kikofi kidogo Mourine begani ambaye alikua akiisafisha koki hiyo iliyokua ikitoa ute ute bado.
Alitulia kwa dakika mbili nzima bila kusema chochote , alisimama na kunyoosha mpaka bafuni kuji mwagia maji aliporudi tu alimparamia Mourine na kuanza kumnyonya mdomo wake taratibu huku mkono wake akiupeleka  chini kwenye kitu kilicho fanana na kiharage, hapo ndipo alikua kama amelenga gololi akipiga tili.
Alishajua kabisa hapo ndipo udhaifu wa watoto wa kike ulipo hata awe mbishi kiasi gani.  akishikwa hapo lazima aimbe haleluya!, alimkumbuka demu wake mchaga ambaye kila akimshika eneo hilo ilikua lazima aongee kichaga.

Akitumia kidole cha kati kati alizidi kukipapasa kidude hiko taratibu mno huku akiwa kifuani akinyonya maembe mawili tena kwa zamu,
alitoa ulimi wake nje na kuanza kucheza taratibu kama nyoka na kuinyonya shingo ya binti huyo, alijua ni jinsi gani mwanammke huyo sasa anapata tabu sababu ya kumuona anavyohangaika, ilikua ni zamu yake kumtesa yeye kwa wakati huo.
“AAhhhhhh mmmmmh aaaaishhhhhhaaaaaishhhhh”
Hizo ndizo kelele alizokua akipiga Mourine akiwa amelala chali juu ya kitanda hajiwezi tena, Adrian Alisha lijua hilo na kuzidi kupeleka majehi majeshi,
alikua kama ananawa vile, hakukaa hata sekunde tisa taratibu aliteremka chini na kuanza kudeki bahari akitumia ulimi wake huku bado mkono ukiwa juu ya maembe bolibo ukizidi kubinya binya ili kujua kama yameiva au bado,
Mambo yalikua yakiserereka sasa kama gari kushusha kwenye mlima na tayari sasa IKULU ya Mourine ilikua imevaa koti jeupe,
  hakutaka kuishia hapo licha ya yote hayo kutokea! Alizidi kudeki bahari mpaka hapo alipoanza kushikwa kichwani akikandamizwa ndani yake na kujua teyari uchimbaji unaanza Mourine alilala mika sana huku akitoa sauti za puani,
sekunde mbili alianza kutetemeka na kuibana miguu yake huku akizidi kulitaja jina la Adrian hapo ndipo nguli huyu alipoipanua na kuvaa zana za maangamizi haraka haraka kama chizi,
Baaada ya hapo kilicho fuata ni kuvunja amri ya sita juu ya kitanda hiko!.
***

“za ASUBUHI BOSI! unahitajika ofisini sasa hivi, kuna watu wanakuhitaji hapa wamesema ufanye haraka sana”
Ulikua ni ujumbe wa simu kutoka kwa Martha secretary wake  baada ya kuwasha simu asubuhi hiyo aliutoa mkono wa Mourine kifuani mwake na kukaa kitako akiwa bado yupo bila nguo!.
Na kuanza kupiga simu kwa sekretari wake ili ajue ni jambo gani hilo la muhimu.
“bosi ni maaskari wana sema uje”
Upande wa pili ulisikika
“wapo hapo ofisini?”
“ndio bosi”
“waambie nakuja sasa hivi nipo njiani kuna foleni”
Baada ya kukata simu alinyoosha mpaka bafuni na kujimwagia maji, kitandani bado Mourine alikua amelala chali haelewi kinachoendelea, hakutaka kumsumbua alivaa haraka haraka na kubeba funguo za gari tayari kwa safari.

Baada ya dakika arobaini alikua kasha fika ofisini kwake na kuwa kuta maaskari wanne ali wakaribisha mpaka ofisini kwake.

“unajua kuwa leo ndio siku ya ile kesi?”
Askari mmoja mweusi tii aliongea huku akikaza macho yake
“ndio afande”
“sasa ina kuaje?”
“hakuna shida nitaenda”
“sikia bwana mdogo embu kunjua mkono huo , usiji sumbue eeh bwana!”
Alidakia askari mwingine huku akijichekesha na kukenua meno yake. Kwa Adrian alikua teyari kasha elewa ni kitu gani ana takiwa kukifanya hapo,
hata yeye hakutaka kabisa kwenda kusimama kizimbani aliogopa sana kitu hiko alijua hiyo ndiyo fursa pekee,
Alivuta Droo na kutoa maburungutu ya pesa.
“sasa hizi mtagawana wakubwa, kamata hizo kila mtu laki mbili mbili. Kama kuna tatizo lingine msisite kuni pigia simu”
Hapo ndipo maaskari hao walipoondoka na kushusha pumzi ndefu sana, alimuita Martha ili amletee kahawa. ndani ya dakika chache teyari ililetwa na Martha kuketi juu ya meza.
“Adrian nime kumisi”
Alisema Martha huku akirembua macho yake na kujilegeza
“ahsante!”
“kwani wewe huja nimisi jamani?”
“ndio maana nimesema ahsante, naomba kaendelee na kazi”
Hakutaka mazungumzo au mazoea na mwanamke huyo tena Alisha mchoka sasa, sifa alizokua akimpa hapo nyuma siku zilizopita hakumpa tena sababu tu kasha iona nguo yake ya ndani,
“lakini…..! sawa wacha niende”
Martha aliitikia kwa shingo upande na kuondoka zake.
.Mawazo tele yalikua yakimjia juu ya akili yake kilichokuwa kina mtesa ni mwanamke Jaqlin aliye muona ndani ya ofisi za NSSF,
bado alikua akimuona ndani ya akili yake kila kukicha hakuacha kumuwaza, hata yeye hakujua ni kitu gani kime tokea, alisimama na kuchukua funguo zake za gari na kutoka nje,
aliingia ndani ya gari na safari ya kwenda Mabibo Hostel kuanza ili tu kwenda kumuona msichana huyo aliye kiri kuwa ni mzuri sana.
Aliweka gari uwanjani baada ya kufika na kushuka moja kwa moja alipandisha mpaka hostel za wasichana na kugonga mlango wa chumba hiko,
Aliye mfungulia mlango alikua ni Fetty na kumkaribisha chumbani kwao, lakini alipopiga jicho hakumuona Jaqlin ilibidi amuulizie sababu hiko ndiko kilicho mpeleka mchana huo.
“hayupo ila yupo njiani sasa hivi anarudi  kutoka kampasi”
Alijibu Fetty
“lakini si naweza nika msubiri?”
“bila shaka pumzika tu, una tumia kinywaji gani?”
“hapana usijali nipo sawa, una album niagalie angalie?”
Fetty hakua na tatizo lolote lile alifungua begi kubwa na kutoa album ya picha na kumkabidhi Adrian ili apitie pitie picha akiwa ana msubiri Jaqlin,
Haikupita hata dakika mbili jaque alitokea na kumsalimia Fetty bila ya kumsalimia Adrian.
“ayaaaaaa! Fetty nimesahau pochi yangu kwenye gari ya Matthew, ngoja niwahi”
Alirudi mbio mbio na kutoka nje,
Adrian hakuona haja ya kukaa tena ndani humo aliinuka na kuaga kisha kuondoka zake, ila alipo fika nje moyo ulimuuma sana baada ya kumuona Jaqlin yupo ndani ya gari na mwanaume, tena wakipigana mabusu ndani ya gari hiyo ya gharama RANGE sport nyeusi,
Macho yake yaligongana na Jaquee na kumuona tena ana msogelea mwanaume huyo na kunyonyana ndimi zao, alijua dhahiri ilikua ni makusudi, aliji kuta moyo una muuma sana kupindukia.
Sasa unaweza kusoma simulizi za mtunzi kway insta @storyzakway
ITAENDELEA......

No comments

Powered by Blogger.