Header Ads

Mchachuko sehemu ya tatu

MCHACHUKO….(3)

MTUNZI..EMMANUEL 

ILIPOISHIA

“ta…ra,,tibu”

Adrian akiwa amesimama huku Vaileth akiwa juu ya sofa akiwa ameshika MUWA kwa mikono yote miwili japokua mdomo wake ulikua mdogo ila aliji tahidi kuuingiza muwa huo mdomoni huku akiulamba na ulimi wake na kumfanya Adrian ayafumbe macho yake sababu alianza kuhisi raha za ajabu na kupelekea kuzishika nywele za vai kwa nyuma…….

SONGA NAYO.

Ilikua nusura Adrian adondoke sababu ya kuhisi raha za ajabu , mkono wake mmoja sasa aliuweka juu ya ziwa la Vaileth na kuanza kupekecha pekechua huku akicheza na chuchu za mrembo huyo ambaye sasa alikua amelewa kwa pombe kichwani, ivyo mechi iliyo kua ina andaliwa ili kua inachezwa Rafu, walicheza mpaka na mikono bila refa kuona kama kuna faulo, ilikua  ni mechi ya kimya kimnya sababu hakuna hata mchezaji mmoja aliye mjua mwenzake kwa wakati huo, tayari wachezaji majasho sasa yalishaanza kuwa toka  kumaanisha kuwa mchezo una takiwa kuanza,
Adrian alipitisha mkono wake chini ya kochi na kutoa kiboxi kilichoandikwa ROUGH RIDER kwa nje,  kisha kukifungua

na kutoa zana za maangamizi, Vaileth alichukua mwenyewe na kumvisha silaha zile ili vita ianze bila kupoteza muda Adrian alitoa MJEGEJA wake na kuukoki sasa tayari kwa vita hiyo kali ambayo ili fananishwa na Marekani na Afiganstani, aliiingiza JEGEJA lake ndani ya pango ambapo aliamini huko ndipo maadui wapo, sasa vita ya kimnya kimya ilianza ambayo ilichezwa kwa ngumi peke yake kabla ya risasi kuanza kurushwa,
“tajiri noma sana”
Mlinzi huyo aliye kua dirishani akiangalia video ya bure huku udenda uki mtoka aliropoka huku akizidi kushika dude lake lililokua tayari lina sachi netwoki kwenye satelaiti,
“MMMMMH Slow…ly Adr….”
Sauti ya puani aliiitoa Vaileth huku akiwa chini ya kidume huyo akishughulika juu ya kochi ilo, akiwa ana zungusha kiuno chake Adrian aliomba ulimi na bila kipingamizi Vaileth aliutoa na papo hapo kunza kulambana midomo na kubadilishana mate,
Baada ya dakika takribani mbili Adrian sasa alizidisha kasi baada ya kuona maadui wana zidi alikoki bunduki yake kisha risasi zika toka tayari,
“You so sex”!

Alisema Adrian akiwa bado juu ya kiuno cha Vaileth huku mjegeja wake ukiwa bado ndani  ya andaki, baada ya hapo walipiga stori mbili tatu wakiwa vile vile kama walivyo toka tumboni mwa mama zao, .
“kwani Adrian hauna mpenzi”?
“ninae, ninae vai”
“sasa yuko wapi”?
“yupo Thailand, ana soma huko”
“mmh sasa huwa ana kujaga au”?
Vaileth aliongea huku akipepesa macho yake akikagua fanicha na nyumba iyo iliyokua na kila kitu ndani.
“ana kujaga kila wik end”
“hongera, ume jitahidi sana, umenishika sehemu zote nazopendwa kushikwa”
“hata wewe ni nuksi”!
Adrian alisimama na kuvaa boxa yake iliyokua chini na kumtaka Vaileth akaoge muda huo huo ili waweze kuondoka zao, na kumwa mbia kuwa ana hitajika ofisini Posta maana huko ndipo ofisi yake ilipo.

Baada ya kila mtu kuoga aliwasha gari na kuondoa gari ambapo alimuacha Vaileth Mwenge na yeye kunyoosha moja kwa moja mpaka posta, alivyofika gorofa la PPF TOWER alipaki gari pembeni na kushuka,
Aliingia ndani na kubonyeza lifti namba saba na lifti ile kuanza kupanda juu, ilivyo fika namba saba ili jifungua kisha kuweka tai yake vizuri na kuingia ofisini kwake, alimsalimia sekretari wake na kupita moja kwa moja ofisini kwake na kuketi juu ya kiti.
“bosi”
“nakusikiliza”
“Yule dada niliye kwambia juzi ana kuja kufanya interv….”
“okay mwambie apite”
Alikua ni secretary wake aliye itwa Mima huyo nae Alisha mpitia  ila baada ya kumchoka na kumtumia vilivyo, aliamua kumpotezea kama hawajuani, ili mradi kasha pata alicho kipata hakutaka tena mazoea nae hata kidogo!, ivyo alivyo kua ana ongea nae hakutaka kuweka sura ya kucheka hata kidogo na kutoa majibu ya mkato,.Mima alitoka nje na kumuita binti huyo.
“karibu binti, karibu uketi”!
“asante”
“ume kuja na c.v zako , kila kitu ume beba?”
“ndio, ninavyo hapa”
Dada Yule aliye kua mbele yake alifungua pochi taratibu na kutoa makaratasi huku aki tabasamu , kweli alikua na shida ya kupata kazi , Adrian alikabidhiwa makaratasi yale na kuanza kuya kagua na kuya fungua fungua ki umakini.
“Martha Msoso, !vyeti vyako vime ni furahisha sana ume fanya vizuri,  embu nenda gorofa namba kumi, mkono wako wa kushoto  mlango wa kwanza, ingia mule muulizie PARTSON Ngogo, ata ku-intavyuu”
Dada Yule alivyo simama Adrian alikua na kazi ya kumkagua aligandisha macho yake juu ya makalio ya mwana mke huyo ambayo yalikua yana ukubwa kiasi chake na kuufanya mwendo wake uwe maridadi sana, alijikoholesha kana kwamba alikua na kohozi la  kutema na kumfanya Martha ageuka nyuma,
“sasa ukitoka huko uje kuniambia, nampigia simu sasa hivi”
“sawa asante kaka”
“poa”
Adrian alizidi kumsindikiza mpaka mlango ulipo fungwa.
“kwa staili hiyo khaa! kazi utapata tu mrembo”
Aliwaza Adrian huku akibonyeza bonyeza kompyuta iliyo kua mbele yake.

******

“lakini imma, mara ngapi nakuonya? ,, nakupigia simu mara unaniambia ipo kwenye chaji,hivi una fikiri unayo yafanya hayo mimi sijui?, ”
“sio ivyo mpenzi wangu, simu yangu ina matatizo ya chaji sistimu ndo maana Beatrice, !”
“hapana wewe ni muongo , siku izi siku elewi,  kwa taarifa yako kuanzia leo, tusijuane, uachane namimi na fanya mambo yako na mimi nifanye yangu, tuachane,”
Sauti hiyo ilisikika ikitokea chumbani ndani ya nyumba ya kupanga Mwana ume huyo alizidi kuomba msamaha pengine kudiriki kupiga hadi magoti, ilionekana dhahiri kuna uwezekano mkubwa kuwa mwana mke huyo alitafuta sababu siku nyingi ya kumuacha mwanaume huyo, ivyo kulikua kuna kila dalili ya kuachwa
“niache niondoke zangu”
“sasa unaenda wapi usiku wote huu?”
“utajua tu”
Baada ya kutoka nje alikutana na gari aina ya AUDI nyeusi sana yenye vioo vyeusi mno, kioo cha gari lile kilifunguliwa na sura ya Adrian kuonekana, hakika ilionekana kuwa yeye ndiyo chanzo cha ugomvi ule sababu mwana mke Yule alikimbia mpaka kwenye gari la Adrian,
“Beatrice, una amua kuni fanyia ivi?”
Alisema Imma huku akizidi kulisogelea gari lile na simu yake ya Nokia ya tochi iliyo ungwa ungwa na raba bendi ilionesha dhahiri kuwa alikua mwenye hali duni, ivyo kuona gari lile alijua nini kilicho kua kinaendelea tena bila kuuliza, picha ilijionesha dhahiri.!.
“Imma, mbona hunielewi siku taki, achana na namimi bwana, mimi sio type yako,”
“nakupenda Beatrice, hawa wasi kubabaishe na magari yao, hawana mapenzi ya dhati, watakuchezea wakuache na utakuja kujuta!”
Adrian akiwa ndani ya gari alishuka na kuchukua sigara aina ya ICEBARG iliyo kua kubwa ambayo huvutwa na matajiri wa kimarekani, hakuwa mvutaji wa sigara ila hutumia   iyo kuashiria kua ana pesa,
Alivuta moshi kisha kumpulizia Imma ambaye alikua chini kampigia magoti Beatrice akimlilia machozi asiondoke sababu alimpenda sana. Kitendo kile yeye alikitafsiri kama dharau lakini hakuonesha hali yoyote ya kukasirika alichotaka yeye ni kumuomba msamaha Beatrice!.
“blaza naomba uniachie mpenzi wangu tafadahli, bado nampenda, nionee huruma, sawa mimi maskini lakini naomba usimuondoshe kwenye mikono yangu blaza nakuomba nipo chini ya miguu yako, wewe mwanaume mwenzangu!”
Kijana huyo alikua chini akiwa amepiga magoti akilia machozi mengi, na kutoa maneno yenye kutia huruma na kumaanisha sana..
“baby achana nae, twondoke bwana, Achana na huyo taka taka”
Beatrice alimsukumiza Imma akitumia mguu na kumfanya adondoke chali mchangani kisha yeye kufungua mlango na kuingia ndani ya gari siti ya mbele na kufunga mkanda kabisa.
“Dogo siku zote mwenye kisu kikali ndo hula nyama, sasa huyu demu wako nita kurudishia next week, sababu nakuonea huruma sana, naenda kumtumia kidogo tu, ”
Aliongea Adrian kwa nyodo akiwa sikioni mwa Imma na kurudi ndani ya gari, ila katika hali ya kushangaza Imma alitembea mpaka mbele ya gari na kukaa mbele yake huku akilia.
“nigonge tu blaza bora nife kuliko kumkosa huyo mwana mke nampenda sana, nipo nae kwa miaka mitano , nigonge au uniachie blazza”
“hivi Beatrice, huyu bwana ako hanijui eeeh?”
“mgonge baby ata tuwekea kiwingu”!
Adrian alitia gari funguo na kuliondosha , kilicho sikika hapo zilikua ni kelele nyingi za maumivu.

Itaendelea.........

No comments

Powered by Blogger.