Header Ads

Madhara ya kufanya mapezi wakati wa hedhi (period)

Kufanya mapenzi wakati wa hedhi ni kitendo cha kujiusisha na mapenzi na msichana au mwanamke aliye katika siku zake za kisichana..

Kuna madhara mengi yanaweza yakatokea na kwa kawaida si madhuri kwa afya ya wote wawili.Hivyo kwa ushauri huwa tunapenda watu wajari sana afya zao na si kuzidumaza na kuendekeza hisia kwani hiloo ndilo kosa kubwa la vijana wengi wa siku hizi.
Zifuatazo ni baadhi ya madhara yanayoweza kutokea endapo wawili hawa wakafanya ngono wakati KE yupo katika siku zake{period}.. 
 MADHARA KWA MWANAUME.
1.Kupata maambukizi katika njia ya mkojo hadi kwenye kibofu.
 2.Maambukizi katika tezi dume(Prostetits) hii inaweza kuathiri mfumo wa uzazi wa mwanaume.
 3.Kuziba kwa njia ya mkojo.
 4.Utasa au ugumba.
 5.Ulegevu wa misuli ya uume na upungufu wa nguvu za kiume.
 6.Athari mbaya ya kisaikolojia kwa kuwa anafanya tendo katika mazingira machafu hali itakayompelekea kutolifurahia tendo kutokana na hali ya umaji maji,utelezi, au harufu kali na mbaya na hivyo kuona kuwa mwanamke ni mchafu.Pia hali hii ikizidi inaweza kuathiri hata hufanyaji wa tendo katika siku za kawaida sio za hedhi.
MADHARA KWA MWANAMKE.
1.Kupatwa na mambukizi viungo vya ndani vya uzazi kama vile
      shingo ya kizazi,mirija ya uzazi kwa ujumla wake anaweza kuwa na tatizo la PID( PELVIC INFLAMATORY DISEASES) tatizo ambalo linaweza kuathiri mfumo wake wa uzazi.
 2.Maumivu makali ya tumbo hasa kwa wale wanaopatwa na maumivu wakati wa hedhi.(Dysmenorrhea).


 3.Utokaji wa damu unaweza ukaongeza kuliko vile inavyotoka kwa kawaida yake.
 4.Utasa au Ugumba.
 5.Kuvimba kwa kuta za ndani za uke kwa kuwa wakati wa hedhi zenyewe huwa tayari zimevimba au kutanunuka hali pia itamsababishia maumivu kwenye uke wakati wa tendo la ndoa.
 6.Athari mbaya ya kisaikolojia:
Mwanamke atahisi kuwa mumewe hamjali wala mpendi bali anajali hisia zake za kingono na kwamba yeye anatumika kingono tu.Pia kuona kuwa mumewe ajali afya yake pamoja na maumivu anayoyapata lakini bado huyu mume anataka Kusex.
Nini cha kufanya?
Kama ulikuwa hujui zipo njia nyingi sana za kuridhishana nitazitaja kama ifuatavyo
KUMRIDHISHA MWANAMKE( Hedhi huwa inatoka kidogo):
Hapa naomba nichambue kidogo
Taratibu sogeza ulimi wako kwenye midomo yake, mpe mate au denda kama wasemavyo wengine huku mikono yako ikipapasa sehemu zingine za mwili, taratibu shuka maeneo mengine kama kwenye shingo na kwenye matiti pia mchezee na umnyonye vizuri kabisa huku ukimshika maeneo ya sehemu zake za siri( hapa usiingize mkono kabisa namaanisha unamshika juu ya chupi yake ambayo itakuwa imeambatana na pedi) hapo hisia za mwanamke lazima zitakuwa juu na utaona akiongeza speed ya pumzi, unaweza mchezea hapo kwa muda then mpeleke bafuni atoe pedi na muanze kuoga raha zaidi kama mtakuwa mnatumia shower (wale wa tubs au vindoo vya maji mtapata shida kidogo) mpake sabuni taratibu kwenye maeneo yale hatari namaanisha kwenye kisimi huku unaendelea kumnyonya denda na mkono wako mmoja unashika matiti yake, hakikisha unakisugua vizuri kinembe chake hii inaweza kuchukua dakika kadhaa kutegemea na mtu hadi mwanamke kufikia climax.
KUMRIDHISHA MWANAUME:
Hapa sitaki kuongea sana manake naweza kujikuta namwaga siri zangu za ndani
 Mwanamke usijisikie vibaya mpenzi au mume wako akiomba mzigo wakati upo kwenye siku zako na wala usikatae, we mwambie tu nipo kwenye siku zangu ila nitakuridhisha. Kama nilivyosema sitachambua sana sababu najua wanawake wengi siku hizi ni wachacharikaji

1. Sucking(Blowjob), unaweza kumnyonya mpenzi wako sehemu mbalimbali kuanzia kwenye chuchu, hadi maeneo hatari na akaweza kukojoa hapa pia maujanja lazima yatumike kwenye unyonyaje manake wengine mnanyonya utadhani unataka kumtoa mtu nyama tumia ulimi wako taratibu sana na wala usikaze ulimi
2. Handjob, baada ya kupapasana na kunyonyana maeneo yote muhimu basi unaweza paka mafuta kwenye mikono yako na kumpigia nyeto mwenza wako hadi atakaporidhika japo hii inaweza kuchukua muda kutokana na mtu na mtu
3. Matiti, hii ni kwa wale wenzangu wenye matiti makubwa, yanaweza yasiwe makubwa saaana ila muhimu ni kama matitit yanakutana basi uwezo wa kumridhisha mpenzio kwa njia hii unao, paka mafuta matiti yako yalainike then pitisha uume katikati ya matiti na muanze mchezo heheheheeeeeee patamu hapo
4. Mapaja, pia hii inanoga sana kwa wale wenye mwili kidogo, kitu cha nyamanyama hahahaaaa kama njia iliyopita paka mafuta hapo kati then pitisha
5. Hapa kwa wale wanaofunga macho, yaani anakwambia hata kama upo kwenye siku zako twende hivyohivyo, hii ni nzuri ikifanyika bafuni na vizuri pia kama mtatumia mpira ingieni bafuni mwanamke ajisafishe vizuri then mwanaume avae mpira wake vizuri then mambo yaendelee baada ya hapo ni kujisafisha tu au kama mtaenda peku(Japo sikushauri sababu ya magonjwa kama nilivyo eleza hapo juu) basi hakikisha maji yanatiririka wakati mnasex,
Ahsante

2 comments:

  1. Thanks my love for your session it help us in what we supposed to do in order to make my husband feeling happy during menstruation period

    ReplyDelete
  2. Thanks my love for your session it help us in what we supposed to do in order to make my husband feeling happy during menstruation period

    ReplyDelete

Powered by Blogger.