Header Ads

Kafara ya damu sehemu ya 4

KAFARA YA DAMU :04
MTUNZI:NASEEB.H.SAID
NAMBA:0657932402

Asubuhi ilipambazuka kama kawaida yake ,siku hiyo ilikuwa ni siku ya uchovu sana kwa naseeb ,aliutumia mda mwingi kulala.hata alipoamka hakuwa anajiskia vizuri huku hali ya maumivu ikimshika mwilini mwake.

hakuyaofia maumivu hayo alijua kazi alizozifanya jana yake ndizo zilizomsababishia maumivu makali.
hapo akanyanyuka na kuchukua maji yake na kuelekea chooni kwenda kuoga.hata alipofika akaanza kuvua nguo zake.
"la haulaaaa sehem zake za siri zilikuwa zimetuna ,ukubwa umeongezeka  mara dufu "hata yeye alijiuliza maswali lakini hakupata majibu ya maswali yake.
akiwa anashangaa huku akijiuliza kuhusiana na tupu yake mara moshi ukaanza kutoka chini ya choo kile ,upepo mkali ukaanza kuunguruma,mara mvua ya damu ikaanza kumnyeshea kijana yule.mara jitu lile litishalo likamtokea na kuanza kuyanena maneno.
USIJISHANGAE KIJANA ,NIMEKUJA KWA LENGO ZURI TU HAIJALISHI UTAKUBALI AU HAUTOKUBALI
NAJUA UNAITAJI PESA KATIKA MAISHA YAKO ,SASA SISI TUTAKUPA PESA ILA TUTAITAJI JAMBO MOJA.
jambo moja?
alijiuliza kichwani mwake,hakuwa anajua jambo gani lakini uoga ukamvaa  mwilini.ni vipi jitu lile limuombe kitu?
Nd...Ndio'alisema naseeb huku uoga ukimtawala nyoyoni.
TUTAKUPA UTAJILI UTAKAO UTAKA ILA SISI TUTAKUPA ZOEZI LETU NA KADRI UTAKAVOLIFANYA ELA NDIO ITAKUWA INAONGEZEKA.
JAMII YETU YA ZINDABA INA WANAUME TUPU ILI KUPATA WANAWAKE TUMEAMBIWA JAMII YETU IWE INAFANYA MAPENZI NA WANAWAKE WENU.UWEZO WA KUWAPATA HATUNA ILA KUTUMIA WEWE TUNAAMINI TUTAFANIKIWA AZMA YETU.
sa..sasa ni vipi nitawapata wanawake hao haliyakuwa sina kitu jamani.

HAHAHAHA.....TUMESHAKUAMBIA TUTAKUPA UTAJILI UTAKUWA NA PESA NA WANAWAKE HUPENDA SANA PESA HIVO UTAWALAGHAI KISHA TUTAWAFANYIA MAMBO YETU.

sa....sawa "alijibu naseeb alikuwa ni mtu mwenye furaha kupita kiasi,licha ya uoga aliokuwa nao lakini furaha ilimjia sana moyoni.

yaani kwa kuwatumia wanawake ,tena asiokuwa na udugu nao,atapata mali.sasa iweje akatae ofa ile ,apo akakubali ofa ile na jitu lile likaondoka na furaha ya kwenda kuwaambia wana wa ZINDABA.




alipomaliza kuoga akatoka chooni ,akaingia ndani,akakisogelea kitanda chake na mawazo kibao yakimpitia kichwani mwake.

kwa kuwa hakuwa na ela ndani ndipo alipoamua kunyanyuka na kuekekea sokoni kwa ajili ya kwenda kutafuta riziki.






**********
hivi we Marshal utaacha lini umalaya?uoni unatuzalilisha wazazi wako.we mbaka mtaani wote wanakujua,mbaka wanakuita cha wote lakini bado tu unaendelea na umalaya tuu.
Aaaaah mama eeh kaza bwana we vipi mbona pesa zangu tunakula wote niache na maisha yangu niache na umalaya wangu.

yalikuwa ni machache katika mengi waliyoyaongea mtoto na mama huku mzozo ukichukua nafasi yake.

*********

Marshal ni msichana mrembo asiyekuwa na bahati katika maisha yake ,alikuwa na akili sana kichwani mwake ,shuleni kwao alisifika sana nidhamu ikimtawala katika mwili wake.lakini isipo bahati alikuja feli darasa la saba huku watu wakiachwa mdomo wazi.
familia yake haikuwa na uwezo wa kumuendeleza kimasomo.akaanza kukaa nyumbani tuu .hapo akakutana na elimu ya kitaa.

katika pita pita zake akaja kuonana na wasichana wa wili na kuunda nae urafiki.
ila mara fiki hawa hawakuwa wazuri wakaanza kumuingiza kwenye anasa mbalimbali na mwisho wa siku kuingia katika umalaya.


*******
Enyi jamii ya chidabo wenzetu jamii ya zindaba wamepata mtu wa kuwa letea wanawake je na sisi tufanye nini?alihoji mtu yule
hapo kila mtu akawa ni wakusema lake
hakuna hata mtu mmoja aliyetoa hoja nzuri itakaofanya na wao waje kupata wasichana.huku miongoni mwa wengi wa kisema na wao watafute mtu atakae sababisha na wao wapate wasichana.

uwepo wa mwanaume hawakuupenda hata kidogo,licha ya hivyo hawakupenda waje kumtumia mwanaume ili awapatie wanawake  .hapo ndipo walipoamua wamtafute mwanamke atakae wapatia wanawake.


Aaaaaashhh ...
uiiiiiiii uuu....unnaa niuuumi.......Zaaaa shhhhhj aaaaaaah mamaaaaa h.a pp
hap
zilikuwa ni kelele zitokazo kwa mwanamke yule raha alizozisikia si ya kusimulia,licha ya hivyo aliufurahikia mchezo ule ,mbaka anafika mwisho alikuwa kashapanda milima kibao na kushuka.kuja kushtuka shuka lake limeloana,huku sehem zake za siri zikimuuma kushika na  kuangalia la haulaaa damu zikaanza kumtoka.

ITAENDELEA................

SAPORT KAZI ZANGU KWA KU LIKE ,KU SHARE NA WENGINE NA WAO ZIWAFIKIE
HADITHI ZILIZOKUWA HEWANI
01:NITAMPATA WAPI KAMA YULE
02:NIENDE WAPI?
03:KAFARA YA DAMU

NAMBA :0657932402
NASEEB H.SAID

No comments

Powered by Blogger.