Header Ads

Mchachuko sehemu ya 19

MCHACHUKO….(19)
MTUNZI…EMMANUEL F. KWAY
AGE…(18+)

ILIPOISHIA

Dakika tano sasa zilikwisha pita na kufanya Consolatha  aingiwe na wasi wasi alielewa ni lazima kuna mchezo  mchafu unaendelea,
Aliinuka taratibu na kuvuta kanga yake na kujifunika mpaka juu na kuanza kunyata, hakuamini alivyopita mlangoni na kusikia sauti za puani kutokea kwa Leila huku akilitaja jina la Adrian.
Hakutaka kujiuliza mara mbili aliufungua mlango ule na kuwakuta watu hao wawili wakiwa kama walivyozaliwa na Leila akiwa juu ya Adrian akiwa anakatika huku akilia kwa sauti ya mahaba.
“Leila”

SONGA NAYO
Aliita Consolatha akiwa katika hali ya kutaharuki sana hata yeye alishindwa kama anaota au anaona kweli rafiki yake kipenzi tena aliye mpa hifadhi leo hii yupo juu ya UUME wa mwanaume wake kipenzi,

alifika mpaka kitandani na kumvaa Leila mzima mzima Adrian aliyekua chini alivyotaka kuinuka alirudi tena chini baada ya kupigwa ukofi mkali wa mdomoni na kumuingia vizuri sana!.
Waliendelea kupigana Consolatha na Leila alichofanya Adrian ni kuchukua boxa yake na kuitia mwilini mwake.
“taratibu jamani, eii eiii Consolatha”
Alimshika Consolatha ambaye alikua akipigwa makofi mengi hata yeye alimuonea huruma baada ya kuona mwanamke wake anapigwa makonde na Leila.
“embu tulieni embu tulieni acheni kupigana sasa,wewe Leila, tulieni tusuluishe”
“nawewe kahaba Adrian nyamaza Malaya wewe, yaani unanichanganya mimi na huyu taka taka”
Alifoka Consolatha
“nani taka taka you coward?!”
Leila alitembea tena akiwa uchi wa mnyama na kumvaa Consolatha na kuanza tena kupigana makonde,
Adrian kuona mambo yamekua mabaya aliamua kutoka aliufungua mlango na kutoka nje huku nyuma akiwaacha wanawake hao wana pigana na kupeana maneno makali,
ila baada ya kufika ngazi ya pili alimsikia Consolatha akipiga kelele kuwa anakufa kisha baadae ukimnya kutawala,

Alitega tena sikio na kutokusikia hali yoyote ile ya kelele, ilimbidi ageuke na kurudi chumbani alipo waacha wanawake hao wawili wanapigana,
hakuamini baada ya kufungua mlango cha kwanza aliona kinyago kikubwa kipo chini na pembeni yake amelala Consolatha ametulia damu zinamvuja mdomoni,
Alivyo mtizama Leila yeye alikua amekaa kitandani moyo unamwenda mbio anathema juu juu.
“nini kime tokea?”
“muulize mwanamke wako”
“nimemuulize vipi wakati una una una”
Adrian alishaona hali imekua mbaya alichofanya alichuchumaa chini na kujaribu kumuamsha Consolatha akimtingisha tingisha lakini hakuweza kusema chochote hakuna kilicho fuata hapo zaidi ya kumbeba mpaka ndani ya gari na safari ya kwenda hospitalini kuanza.

Alipiga gia usiku huo huo mpaka hospitali ya karibu kweli alikua amechanganyikiwa sana aliweka gari pembeni na kumshusha Consolatha haraka haraka mpaka mapokezi,
Ila madaktari walivyo waona waliwashangaa sana hata kwa wagonjwa ni baada ya kumuona Adrian amevaa boxa peke yake huku Leila akiwa uchi wa mnyama,
“wewe Leila kumbe huja vaa nguo?”
Aliuliza Adrian baada akili yake kutulia bila kujua hata yeye alikua na boxa peke yake.
“Mungu wangu, lakini mbona hata wewe una boxapeke yake”
Taratibu alijiangalia vizuri na kuanza kutoa nduki mpaka ndani ya gari, kilikua ni kitendo cha aibu au chenye kuchekesha sana.
Walifika ndani ya gari badala ya kusikitika walianza kuchekana.
“sasa unacheka nini Leila, hapo ulipo una kesi”
“ha ha ha ha ha leo kali ya mwaka”
Gari lili washwa mpaka nyumbani kwa Adrian alicho fanya alibadili nguo na kurudi hospitalini ili kujua hali ya Consolatha, alicho shukuru alimkuta ameya fumbua macho lakini bado alikua na maumivu kichwani mwake.
“Adri..an naomba uwe m..wisho wetu”
Alizungumza Consolatha  kwa shida sana
“usiseme ivyo conso wangu bado nakupenda sana naomba unisamehe”
“ne…nda tu”
“tume toka mba..li con..nso”
Alizidi kuomba msamaha Adrian bila kufanikiwa,.
***
“nakupigia simu hupatikani Adrian, nilikua na shida kweli yaani mpaka nimekuja ofisini kwako”
Alizungumza Fiona akiwa ofisini mwa Adrian
“sina simu nimeibiwa, kuna kijana nime muagiza aniletee simu nyingine”
“pole baby”
“nishapoa”
Kabla ya mazungumzo kuisha simu yake ya mezani iliita na kuweka mkonga wa simu sikioni alivyoambiwa kuwa kuna mgeni wake alimruhusu apite bila tatizo,
Fiona aligeuza shingo yake hii ni baada ya kuhisi marashi mazuri sana, hakuamini baada ya kumuona mtu mrefu kiasi mwenye kifua hakua mwingine bali ni msanii ambaye alikua akisumbua sana ndani na nje ya nchi Nassibu Abdul(Diamond).
“Chiffff mwenyeweeeeee”
Aliita Nassib Abdul huku akitabasamu
“ha ha ha ha ha plat plat platnumzzzz, mnyama vipi?”
Alijibu Adrian na kusimama huku wakikombatiana na kupigana pigana migongoni, picha iliyo mjia Fiona kuwa hao walikua ni marafiki sana.
“aise safi Adrian, mishe vipi lakini ndugu yangu, ni kitamboooooooo, aaah shemeji samahani sijakuona mambo vipi”?
Diamond alimgeukia Fiona na kumpa mkono msanii huyo wa kizazi kipya anayesumbua sana hapo nchini.
Hali hiyo ili mfanya asitulie hata kidogo alibaki ameduwaa sana mwanamke huyo kweli alikua na ugonjwa wa kuwashobokea wasanii wakubwa, ilikua ni moja ya ndoto zake kukutana na mwanamziki huyo.
“nina shoo leo uingereza, naondoka na ndege ya saa mbili usiku, nilikua nakutafuta tangu jana siku pati kwenye simu”
“aaah simu yangu matatizo jembe langu, niambie”
Adrian alivyomuangalia Fiona alimuona akimpa ishara kuwa anataka kupiga walau picha na platnumz hakukua na shida alimueleza jamaa yake shida ya mwanamke huyo,                                                                                                                                           kisha picha kuanza kupigwa nyingi tofauti tofauti huku nyingine wakirudia rudia.
Hakuna siku ambayo aliyokua na furaha kama siku iyo kwa Fiona,haraka haraka alianza kuziingiza Instagram, facebook,kuwa tumia na watu watsap.
“Adrian nita fute kwenye simu kuna mambo nataka kuongea nawewe mimi nina haraka sana sasa hivi Romi jones ananisubiri hapo nje”
“lazima nikutafute tena leoleo kabla hujaondoka”
Nassibu aliaga kisha kuondoka zake,
Kabla ya Adrian kukaa sawa Fiona alimfuata midomoni na kuanza kumlamba mdomo wake na hapo hapo kuanza kubadilishana mate wakilana denda sababu tu ya furaha aliyokua nayo mwanamke huyo.

ITAENDELEA............

(kwa story nyingi tembelea hii link www.facebook.com/

No comments

Powered by Blogger.