Header Ads

Mchachuko sehemu ya 17

MCHACHUKO….(17)
MTUNZI…EMMANUEL F. KWAY
Contact…+256756 322432
AGE..(18+)

ILIPOISHIA
Mwanamke huyo bila kuchelewa alizama mifukoni mwa Adrian na kutoa wallet iliyokua na pesa nyingi, alienda mezani na kuchukua saa ya ROLEX iliyokua na thamani ya dollar elfu moja na mia tano aliyoinunua Afrika Kusini,
alimsachi vizuri na kukuta baadhi ya dolla za kimarekani, baada ya kumpangusa  kila kitu alivaa haraka haraka na kuondoka zake.,

SONGA NAYO.
“mmh”
Aliguna baada ya kuangalia mezani na kutokuiona simu yake aliinua kichwa chake na kuhisi bado ni kizito sana, kumbu kumbu zilianza kurudi taratibu na kumkumbuka mwanamke stellah ambae aliyetaka kumla uroda muda mchache uliopita,
hakuelewa ime kuaje mpaka amepitiwa na usingizi mzito kiasi hiko, alisikilizia kama bafuni kuna dalili yoyote ile ya maji kumwagika lakini haikuwa ivyo, alizidi kutafakari.
“stellah, stellah”
Aliita bila kujibiwa chochote alijiburuza na makalio akiwa kitandani mpaka chini na kuokota suruali yake alivyoisachi alizidi kuchanganyikiwa baada ya kugundua hakuna wallet yake,
alichungulia uvunguni kuangalia wenda itakua imedondoka, haraka haraka alichomoka akiwa na boxa yake kama mtu aliyekua akikimbizwa baada ya kufumaniwa na mke wa mtu,  breki ya kwanza ilikua mapokezi huku akihema sana.
“samahani dada, kuna demu niliye ingia nae ume muona”?
“ndio”
“yuko wapi”?
“ameondoka mudasana, amesema anaenda kununua chakula anarudi, kwani vipi?”
“Yesu wangu.! Uwiii, dada nime ibiwa dada nimeibiwa milioni tatu na dolla elfu mbili, jaaamani weee, wewe humjui huyu mwanamke jamani unisaidie dada angu”
Adrian aliongea kwa kiwewe sana na kulitaja jina la bwana yesu kwa mara ya kwanza tangu miaka mitano iliyo pita, aliibiwa kiasi kikubwa sana cha pesa.
“ki ukweli mimi simjui”
“eeeeh”
Adrian alichomoka mpaka juu na kuingia chumbani alitafuta saa yake pia hakuiona na kuzidi kuhaha.
“Duu kakomba mpaka saa, na niki mkamata  mimi hanijui vi..”
Aliokota funguo za gari chini na kutoka mbio mbio huku akiwa anavaa shati lake kwenye ngazi, haraka haraka alifika kwenye gari na kuwasha kwa safari moja tu kurudi sinza kwa Felister ili akamueleze yaliyo mkuta,
Alifika na kuweka gari nakuingia ndani dukani humo kama mkuki wa kimasai ulioachiwa kwenye upinde,
“Felister, Yule demu anaishi wapi”?
“Adrian vipi kwani”?
“Yule demu anaishi wapi”?
“yupi”?
“usiji fanye hujui au mmekula njama”
“mbona sikuelewi?”
“hunielewi nini nimeibiwa, kaniibia kila kitu”
Badala ya Felister kusikitika alianza kumcheka sana huku akimtizama jinsi anavyo tokwa na majasho akiongea mwenyewe kama mwenda wazimu,
kweli alionekana ni mtu aliye changanyikiwa sana kuliko siku zote za maisha yake hapo nyuma.
“sasa unacheka nini”?
“ha ha ha ha ha  wewe unajiitaga mtoto wa mjini leo wajanja wamekuzidi”
“sasa nitamtafuta kwa wudi na uvumba mimi ndo Adrian au wana niita james bond, mademu wote wa huu mji nawajua Malaya wote nawajua,.. ilaa duu kaniweza”
Alibaki kimnya mwanaume Adrian na kuanza kuumia moyoni, ki ukweli alivyo piga hesabu haraka haraka alivyo changanya na saa yake ilikua ni kiasi kikubwa na pesa kilichopotea kwa siku hiyo.
Hakua na wazo lingine zaidi ya kunyoosha mpaka nyumbani kwake akiwa mwenye hasira nyingi sana kichwani mwake,
Alifika na kuweka gari kisha kuingia mpaka ndani bila kusalimia alimpita Leila na kupandisha ngazi mpaka juu chumbani kwake,
Ila kwa Leila nayeye bila kuogopa alikuja kwa nyuma yake.
“vipi”?
Aliuliza Leila huku akimtizama Adrian aliyejitupa kitandani huku akiangalia juu darini.
“safi tu”
“mbona ivyo”?
“ivyo nini embu nenda bwana, nimeshavurugwa hapa”
Alifoka Adrian kwa sauti kubwa
“niambie tu, mi sitoki”
Aliongea Leila huku akimsogelea Adrian aliyekua amekunja sura yake alivyotaka kumshika alimsukuma na kumfokea kuwa hayupo tayari kufanya kitendo anachokitaka,

ila Leila hakuwa  tayari kuruhusu swala lile aliachie hivi hivi kama mtoto wa kike ilibidi akidhiwe haja yake alionekana kabisa amezidiwa anamzigo mkubwa kwenye mishipa,
hakukoma alimsogelea Adrian na kulishika kombola lake kwa juu, na kumtizama huku akiendelea kulichua kwa umakini sana.
Alifungua zipu yake na kuingiza mkono ndani ya zipu na kulitoa Sub mashine gun ya Adrian alijisogeza mwenyewe mpaka karibu nalo kisha kuliweka mdomoni taratibu hapo Adrian alikua hana ujanja kabisaa,

Nakuanza kuhisi damu  ina mchemka na hapo ndipo aliposahau kuwa aliibiwa vitu vyake muda mchache uliopita nyuma.
“V….ipii nani cons..olat..ha yu..po”?
“NO”
Aliuliza Adrian kwa tabu sana huku akiwa hoi bin taaban kabisa hana usemi alivyo sikia hayupo alishusha pumzi ili amuache mwanamke huyo azidishe njonjo juu ya kitanda hiko kikubwa sana
, Adrian alivyoona vile hakutaka kuwa mzembe alim-binua na kumuweka kwa chini na yeye kupanda juu yake aliivua nguo yake ya juu na kuanza kumnyonya Leila maziwa taratibu, mara la kushoto mara la kulia mara kushoto mara la kulia kwa zamu zamu huku mkono wake taratibu ukiwa juu ya sketi ikuluni mwa mwanamke huyo aliyetoka marekani muda mfupi uliopita,

alitaka kumuonesha kuwa wanaume wa marekani hawana kitu. kichwani kwake ndiko alicho kiwaza hiko,
Taratibu alianza kumuandaa akimshika kila mahali na kumlamba kila sehemu ya mwili wake hususani masikioni na shingoni mwake,

mkono wake tayari uliiingia ndani ya ikulu na kuanza kucheza na kitu kidogo kilicho fanana na kiharage taratibu sana na kumfanya mwana mke huyo azidi kukatika kumaanisha kuwa alihisi raha za ajabu sana,
Alihisi ana mabawa anapaa angani, alikua teyari kesha data akitolea sauti yake puani, huku mara nyingi akilalamika kwa lugha ya kiingereza,
Nguli huyu ilibidi aanze taratibu kuivua sketi ya mwanamke Leila kisha baade nguo ya ndani kufuata hakua na chaguo lingine zaidi ya kulamba kitovu na taratibu kushuka chini mpaka kwenye mgodi na kuanza kumlamba lamba kama paka alambavyo maziwa juu ya kisosi,
alivyokua akilambalamba alikua akipuliza.
“Adr….ia aaaah f…uc*** me”
Alizungumza Leila kwa sauti ya puani huku mkono wake ukiwa juu ya kichwa cha Adrian akiwa anakikandamiza vizuri ndani ya mgodi wake,
ilionekana kabisa Alisha zidiwa jasho jembamba lilianza kumtoka tayari na kuanza kujishika maziwa mwenyewe huku akijipinda pinda mithili ya nyoka aliye mwagiwa mafuta ya taa juu yake.
Madini kwa mbali yalianza kuonekana kumaanisha kuwa ina hitajika mashine ili uchimbaji uanze Adrian taratibu alipapasa chini ya mto na kutoa zana za maangamizi na kuvaa kwa ajili ya vita kali dhidi ya huyu Mwanamke aliyetoka marekani,
Baada ya kuvaa zana mambo yalikua mpwito kitendo cha kuchomeka mashine ya kuchimba mgodi Leila alianza kukatika kwa fujo.
Farasi umpandae hakushindi kwa mbio zake leo hii Adrian alikua juu ya farasi huyo na kuonekana ana spidi nyingi lakini kwa kua yupo juu ya farasi hakuweza kumshinda kwa mbio anazokimbia na kumfanya nayeye aende nae sawa akikizungusha kiuno chake huku mguu wa Leila akiwa ameukunja juu ya mkono wake wa kulia.

ITAENDELEA...........

No comments

Powered by Blogger.