Header Ads

Mchachuko sehemu ya 16

MCHACHUKO…..(16)
MTUNZI…EMMANUEL F. KWAY
AGE…(18+)
Contact..+256756 322432
ILIPOISHIA
“pleaaaseeeeeeeee pleaaaaesseeee likeeee thattt”
Alishasau kuwa alipewa hifadhi kupitia rafiki yake, alikua hajiwezi tena alitoa sauti za chini chini,
na kufanya akose hata muimili wa kusimama alinyanyuliwa kama mtoto na kuwekwa juu vizuri ya DRY CLEANER ya kufulia na kukaushia nguo huku Adrian akizidi kucheza na seheme kuu mbili juu ya ikulu na chuchu.

SONGA NAYO.
Mambo yalikua moto moto Leila aliyekua juu ya Dry cleaner alianza kujibaraguza, bado ngwiji Adrian aliendelea kucheza na sehemu izo tata mbili,maziwa na ikulu aliipanua miguu yake nayeye kuingia katikati yake, mambo yalikua yakienda haraka kama umeme wa TANESCO huku wakizidi kubadilishana ndimi zao kama njiwa tunduni na mihemo ya puani kusikika hapo hapo,

Picha ilionesha walikua mbali kihisia kabisa
“Leilaaaaa, Leila mamii hujamaliza kuvuta sigara?”
Ilisikika sauti ya Consolatha akiwa juu gorofani
“baaaaa…aaaaado”
Alijibu Leila kwa sauti ya taabu sana huku akiwahoi bin taaban, na kumfanya Consolatha ashindwe kuelewa, lakini alijua wenda ni pombe alizokunywa hakuelwa kuwa kuna mambo machafu yanaendelea humo ndani ya chumba kidogo,
Adrian hakutaka kuchelewa alipandisha sketi ya Leila kwa juu kidogo kisha kuvuta nguo yake ya ndani kwa nje,
Alishika shika mifuko yake kwa nyuma na kutoa zana za maangamizi na sasa kuanza kazi,
“aaaaaaaah”
Alianza kuguna Leila huku akizidi kukipapasa kichwa cha Adrian baada ya  mshidede kuingia ndani ya ikulu na uchimbaji kuanza kuchimbwa haraka haraka hapo hapo.

Baada ya dakika kadhaa tayari mambo yalikwisha Adrian alipandisha suruali yake na kufunga mkanda vizuri, na kutoka kimnya kimnya ila kabla ya kutoka Leila alimvuta na kumpiga busu la mdomoni.
“I love you(nakupenda)”
Adrian badala ya kumjibu alimtizama kisha kufungua mlango taratibu na kwenda kuketi seblen kimya kitako huku akiendeleakutafakari yale yaliyotokea muda mfupi uliyo pita aliye kuja kumshtua ni Consolatha kutoka gorofani.
“sasa leo utalala seblen”?
“nimechoka kweli yaani”
“ndio najua , twende basi ukampumzike”
“sawa, sasa huyo ndugu yako usha muonesha sehemu ya kulala”?
“hapana, wewe twende mimi nita muonesha”
Walipandisha juu ila alivyokua akipanda ngazi alimuona Leila na kupewa busu la mbali mbali bila ya Consolatha kuona hako kamchezo,

***
asubuhi kulivyokucha kama kawaida Adrian aliamkia na kufika mezani alikunywa chai nzito akiwa amependeza kabisa, ilikua wik end alimuaga consolatha kuwa anaenda bank kuweka pesa zake.
“kwani shemeji kwanini usinge baki hapa tu, maana tushakuzoea”
“mmmmh well, ila its okay”
“Adrian jana si ulikua una kataa huyu kubaki hapa”
“aaaah mimi,? sio mimi labda”
“aya bwana labda pombe tu”
“ina wezekana”
Hakujua nia ya Adrian kumwambia mwanamke huyo abaki hapo hakuelewa kuwa walisha anzisha mchezo mchafu chini kwa chini,
Alitoka nje na kuwasha gari yake na moja kwa moja akili yake kumpeleka kwa Phelister duka la nguo sinza kwa binamu yake huyo ambaye humpigiaga cross kwa wanawake,
Baada ya dakika arobaini na tano alikua ameweka gari pembeni barabarani sinza madukani na kuingia ndani ya duka hilo la nguo,

alivyo muona Phelister alimchangamkia sana na kuanza kupiga stori nyingi za wanawake.
“juzi nakupigia simu kuna demu mkali alikuja hapa, yaani huyo broo, sijawahi ona, kwanza ana mshepu alafu sasa ule ugonjwa wako cheupeeeee”
“wacha weee, sasa si ungenitumia ujumbe mfupi”?
“ah wapi. Kama simu angekua nayo demu wako je si ningeunguza picha”
“aaah bwana wee ph…..”
“anti samahani, ile pale nguo bei gani?”
Mwanamke aliyekuja hapo na kuongea aliwakatisha mazungumzo yao, Adrian aligeuza shingo yake na kuanza kumthaminisha mwanamke huyo aliyeonekana kama shangingi sababu ya kuweka kope za bandia huku shingoni akiwa na cheni nyingi tofauti,
mkononi pia vile vile, alimtizama alivyo valia kikaptura cheusi kifupi na kufanya nyuma abinuke, alimshusha miguuni na kumuona amevalia kikuku vile vile, weupe wa mwanamke huyo ulizidi kumpagawishakabisa.
Alijikoholesha na kuanza kutafakari jinsi ya kumuanza.
“Dada samahani”?
Mwanamke huyo aligeuka na kumtizama juu chini akimthaminisha Adrian jinsi alivyo vaa kwanza.
“bila samahani”
“una mfahamu Sasha”?
“sasha yupi”?
“Yule mtangazaji ambaye yupo Malawi”
Adrian aliuliza huku akitabasamu
“yaah namfahamu”
“ni ndugu yako”?
“hapana, sina undugu nae, mimi naitwa stella”
Baada ya kujibu alimgeukia phelister na kulipa pesa kisha kugeuka na kuanza kuondoka.
“phelister, mimi simuachi huyu”
Adrian aliongea huku akitoka nje akimfuata mwanamke huyo nyuma nyuma ambaye alimuona akiingia kwenye bajaji alienda mpaka pale na kuuliza ni kiasi gani anadaiwa usafiri.
“namdai elfu saba kaka”
Adrian alifungua pochi yake iliyo jaa noti nyekundu tu peke yake na kufanya hata ishindwe kufunga vizuri na kumkabidhi dereva Yule wa bajaji noti mbili za elfu kumi kisha kumshika mwanamke huyo mkono na kumtoa ndani ya bajaji,
alichukua rimoti ya gari kisha kubonyeza na gari aina ya AUDI kupiga kelele kidogo huku likiwaka taa kuashiria kuwa mlango umefunguka,
Ado ado alisogea nae mpaka kwenye gari na kumfungulia mlango na kumkaliza siti ya mbele, hakua na neno mwanamke huyo alitulia kimnya kabisa,
“huyu ameingia cha kike lile, lazima ataisoma namba”
Aliwaza stella.
Adrian alirudi ndani kwa phelister na kumuaga akimwambia kuwa teyari keshapata kitoweo chake.
Kisha kurudi ndani ya gari lake na kumkuta mrembo uyo akitabasamu,
Hakua na chaguo lingine zaidi ya kufika sinza Lego dagaa dagaa na kuagiza supu ya kuku na wote kuanza kunywa huku  akimuuliza maswali mbali mbali mwanamke huyo ambae kila mtu aliye muona alimtolea macho.
“ulisema unaitwa Stella”?
“ndio niite stella”
“mimi naitwa Chif, niite chif, ni mtu maarufu sana hapa jijini nisingependa tukae hapa sanaaa, nataka tutafute sehemu tukapumzike”
Stella hakua na chochote cha kusema, baada ya kumaliza kula hapo walitafuta chumba kizuri self container na kukabidhiwa funguo,
Kitendo cha kuingia ndani tayari Adrian alianza uchokozi na kuanza kupigana mabusuya midomoni.
“Chiif”!
“mmmmh”
“Subiri niende bafuni”
Alizungumza Stella na kumuacha Adrian kitandani alinyooshampaka bafuni , baada ya kuingia alizama mifukoni na kutoa vitu kama unga unga kisha kuvipaka kifuani kwake vizuri na unga unga huo mwingine kuupaka vizuri mikononi yalikua ni madawa makali ya kulevya aina ya Herroin,
ambayo ukiyanusa kwa muda mrefu ilikua ni lazima ulale kwa takribani masaa sita,
Alivyomaliza zoezi hilo alitoka na kumrukia Adrian na kuanza kubalishana ndimi zao,
Adrian bila kuelewa chochote alifakamia maziwa kama kawaida yake na kuanza  kuivua nguo ya mrembo huyo ya juu,
aliyanyonya maziwa kwa muda mrefu kidogo ila baadae kidogo alihisi kichwa chake  kizito sana hakuelewa nini na kuzidi kuendelea kuyanyonya,
Macho yake yalizidi kuwa hafifu na kuhisi anaishiwa nguvu na pale pale kuona giza na kutulia.
Mwanamke huyo bila kuchelewa alizama mifukoni mwa Adrian na kutoa wallet iliyokua na pesa nyingi, alienda mezani na kuchukua saa ya ROLEX iliyokua na thamani ya dollar elfu moja na mia tano aliyoinunua Afrika Kusini,
alimsachi vizuri na kukuta baadhi ya dolla za kimarekani, baada ya kumpangusa  kila kitu alivaa haraka haraka na kuondoka zake.,

ITAENDELEA.............

No comments

Powered by Blogger.