Header Ads

Mchachuko sehemu ya 18

MCHACHUKO……(18)
MTUNZI….EMMANUEL F. KWAY
Contact..+256756 322432
AGE…(18+)
ILIPOISHIA
Farasi umpandae hakushindi kwa mbio zake leo hii Adrian alikua juu ya farasi huyo na kuonekana ana spidi nyingi lakini kwa kua yupo juu ya farasi hakuweza kumshinda kwa mbio anazokimbia na kumfanya nayeye aende nae sawa akikizungusha kiuno chake huku mguu wa Leila akiwa ameukunja juu ya mkono wake wa kulia.
SONGA NAYO
Mambo yalikua mazuri sasa kila kitu kilikua mwake, uchimbaji ulienda vizuri hata Leila sasa alionesha ushirikiano na kuanza kumkwaruza kwaruza Adrian na kucha zake laini taratibu mgongoni mwake, na kufanya mambo yawe mepesi sana,

hakuna kingine kilicho sikika zaidi ya mihemo ya sauti zilizokua zikitokea puani kuashiria kuwa wapo katika sayari ya huba
“Ahhh Adr.i.an Te aaaamo”
Alizungumza Leila kwa lugha ya kispanish huku akizidi kujitahidi kuzungusha kiuno chake baada ya  nguli huyo akiwa mara kadhaa anayashika shika maziwa yake hususani chuchu huku akilamba taratibu sana chuchu izo.

Kwa mbali sana Adrian alisikia geti lime fungwa kwa nguvu na kuhisi amesikia sauti ya Consolatha na kufanya apunguze mwendo kasi huku masikio yake yakiwa makini kusikiliza
“Whaaat, Adri nini sa…sa ?”
“sshsss Conso”
“aaaah jamani, hawezi kuja sasa hivi”
Walivyotaka kuanza tena mechi walihisi mlango unagongwa na wote kubaki wakitetemeka kwa hofu sana huku wakiangaliana baada ya kushindwa cha kufanya, Leila haraka haraka alichukua nguo zake na kuingia ndani ya kabati.
“ukae utulie huko huko”
Adrian aliongea huku akitizama kitandani na kukiweka sawa alichukua blauzi ya Leila iliyokua kitandani na kuitupa chini ya kitanda kisha kujiweka sawa,

alichomoka mpaka bafuni na kufungua bomba la mvua na kuvaa taulo haraka haraka,
“vipi”?
Baada ya kuufungua mlango Consolatha  aliuliza swali hilo lililomfanya Adrian apate kigugumizi cha kujibu, japo swali hilo lilikua wazi kabisa na kutamani kulijibu lakini alikosa cha kujibu na kubaki akihema juu juu.
“karibu”
“mbona leo mapema, alafu simu yako nilipiga ikaita alafu baadae napiga ikawa haipatikani, mbona sikuelewi Adrian?”
“simu nime ibiwa Consolatha, simu zote tatu zimeibiwa ndani ya gari”
“jamani, acha masihala”
Consolatha kwa macho yaliyojawa huruma alimuangalia bwana ake huyo na kupiga hesabu simu tatu za gharama kuibiwa,

hakuelewa kuwa aliibiwa na mwanamke ambaye waliyekua wakitaka kufanya nae mapenzi.
“ndio ivyo, na pesa zote, niliacha kwenye gari alafu sijui ilikuaje sikulocki milango”
Ilibidi asimulie kitu cha uongo huku akionesha sura iliyo jaa huruma machoni mweke,
hata kwa consolatha alimuonea huruma sana.
“itakua huyo mtu alikua akikufuatilia muda mrefu sana, alafu Leila yuko wapi,?”
“hata sijui nime kuja nimechanganyikiwa nikalala”
  “aya sawa, kuna bahasha nilisahau kwenye kabati sijui uliiona”?
Consolatha alizungumza huku akiliendea kabati la nguo lililokua mbele yake baada ya kupiga hatua ya pili Adrian alimkamata mkono na kumvuta kwake kisha kumuomba mdomo na kuanza kulambana ndimi zao, hakuelewa kuwa ile ilikua zuga, hakuelewa kuwa ndani ya kabati yumo Leila anasali rafiki yake huyo asiweze kumkuta ndani ya kabati,
aliamini kuwa urafiki wao ungeisha hapo hapo na wala sio vinginevyo.
“Bahasha gani hiyo”?
Aliuliza Adrian huku mikono yake akiwa ameizungusha kiunoni mwa Consolatha akimtizama kwa macho yaliyo jaa husda
“mmmmmh kuna vyeti vya mdogo wangu ndani ya hiyo bahasha vina umuhimu sana”
“ngoja nikuchekie”
Ilikua ni lazima aende yeye ndani ya kabati ilikua ni lazima amzuge Consolatha mwanamke ambaye anaye mpenda kuliko wanawake zake wote, alisimama taratibu na kulifungua kabati na kumuona Leila alivyojikunyata akiwa mwenye wasi wasi huku jasho liki mtoka mwilini mwake,
kweli alikua na hofu sana hata yeye.
“tulia humo usitoke”
Alinong’ona Adrian kwa sauti ya chini sana bila conso kusikia chochote kisha kulifunga kabati vile vile, baada ya kutoka na vyeti alimkabidhi consolatha kisha wote kuanza kujiaandaa ili watoke.
“mimi nitaenda mwananyamala Adrian. leo nitawahi kurudi  nije nikupikie, alafu kuna kitu nataka nikwambie”
“kitu gani”?
“sasa si usubiri hiyo baadae nawewe”
“aaah sawa baby wangu, wacha basi nivae nika kudrop hapo mbele”
“nitafurahi”
Haraka haraka Adrian alijiandaa baada ya kuvaa kila kitu alichukua funguo za gari na kuanza kushuka ngazi ila baada ya kufika nje alimuomba Consolatha aingie ndani ya gari kwani yeye alisahau kitu muhimu sana.
Kichwani mwake muda wote alimfikiria mwana mke aliye mficha ndani ya kabati na nia yake ilikua ni moja tu kwenda kumtoa, baada ya kufika alifungua kabati na kumkuta Leila akiwa amelowana na majasho mengi sana kutokana na joto la ndani mule alipo kua ameji ficha.
“pole Leila”
Cha kumshangaza baada ya kutoka Leila alimrukia Adrian na kuanza kumnyonya lips zake.
“wewe una matatizo wewe”
“sina matatizo nataka unimalizie umenitia nye** naomba uzishushe hapa hutoki”
“embu niachie wewe mpumbavu nini?, usinitafutie balaa sasa hivi, conso ananisubiri nje”
“I don’t give a damn.  Mimi sijali sasa nilikutuma unishike shike eeh usiniletee za kuleta hapa.. .. hapa hutoki”
Aliongea Leila huku akizidi kumshika Adrian kwa nguvu kweli alionekana kuzidiwa sana na damu kumchemka,
ilimbidi Adrian atumie akili ya ziada tu ili kumtoka mwanamke huyo aliye kua king’ang’anizi hataki kuelewa somo,
Ilimbidi tu atumie ubabe na nguvu na kumsukumiza kitandani kisha haraka haraka kutoka mlangoni na kumuacha Leila akitutana matusi,
ila hakujali alitoka na kushuka ngazi mpaka ndani ya gari na kumkuta Consolatha kasha funga mkanda wa gari akisubiri safari ianze.
“kwanini umechelewa sasa jamani”?
“nilicho kua nakitafuta sija kiona, sasa mbona hujawasha gari?,  nataka leo uniendeshe”
“aaaah sitaki bado sija jua, bado muoga kesho bwana”
“aya shauri yako”
Adrian alitia funguo gari na taratibu kurudi kinyume nyume lilivyokaa sawa alikunja kona na kuelekea getini kwa safari ya kutoka.

Alifanya shughuli zake za kila siku akiwa bado mwenye mawazo juu ya vitu alivyo poteza siku hiyo asubuhi yake bado alikua akijaribu kuvuta kumbu kumbu ya mwanamke huyo aliye muibia huku wakati mwingine akiongea peke yake akiwa ndani ofisini kwake.
“aaah nita mkamata tu, nawajua Malaya wote wa huu mji, kesho naanza na sinza pale, aaaah”
Alizidi kujiongelesha mwenyewe hakutaka kuongea na mfanyakazi hata mmoja wapo siku hiyo.
Baada ya jioni kufika alinyoosha mpaka kwake na kuwakuta Leila na Consolatha wakiwa seblen wanaangalia tamthilia aliwapita na kupandisha juu chumbani kwake,
alivua nguo zake na kujimwagia  maji, kisha baadae kutoka na kukaa na wanawake hao wawili huku wakiendelea kuangalia tamthilia.
“embu toeni ayo matamthilia niwekeeni muvi yangu ya James bond, die another day”
“ah wapi, sitoi, kaangalie chumbani tuache sisi hapa umetukuta”
Alijibu consolata huku akiendelea kutoa macho yake juu ya kioo kikubwa cha t.v

Baada ya kula chakula cha usiku Consolatha na Adrian walipandisha chumbani huku nyuma wakimuacha Leila anatoa vyombo mezani.

“aaaaashs aaaaaah Adriaaan AAAAAH ha…po H…apo”
Kelele izo zilisikika kutokea chumbani ambapo Leila alikua yupo nje ya mlango ametega sikio lake akiwa anapata sana tabu alitamani nayeye afungue mlango na kupewa huduma hiyo inayoendelea chumbani humo, tayari damu ilimchemka sana na sauti kuzidi kabisa.
Hakuweza kuvumilia ilimbidi agonge mlango ule.
“aaaaah nani”?
Aliuliza Consolatha kwa sauti ya uchovu iliyojaa hasira kwa mbali baada ya kukatishwa raha zake
“mimi mimi Leila”
“nini tatizo”?
“namuomba shemeji kidogo mara moja tu,”
Baada ya dakika chache mlango ulifunguliwa na Adrian kutokea mlangoni akiwa na taulo jeupe kalivingirisha mwilini mwake
“unataka nini tena”?
“twende kabla sija haribu”
“hivi wewe una mashetani?”
Waliongea sauti za chini chini na Adrian kuvutwa mkono mpaka chumba kinachofuata ambacho kilikua hakitumiki kisha Leila aliyekua ndani ya night dress kuanza kumfakamia midomoni mwake akimpiga madenda,
Dakika tano sasa zilikwisha pita na kufanya Consolatha  aingiwe na wasi wasi alielewa ni lazima kuna mchezo  mchafu unaendelea,
Aliinuka taratibu na kuvuta kanga yake na kujifunika mpaka juu na kuanza kunyata, hakuamini alivyopita mlangoni na kusikia sauti za puani kutokea kwa Leila huku akilitaja jina la Adrian.
Hakutaka kujiuliza mara mbili aliufungua mlango ule na kuwakuta watu hao wawili wakiwa kama walivyozaliwa na Leila akiwa juu ya Adrian akiwa anakatika huku akilia kwa sauti ya mahaba.
“Leila”
ITAENDELEA....,.......

No comments

Powered by Blogger.