Header Ads

Zifahamu faida na hasara za kufanya au kushiriki tendo la ndoa kwa wanandoa

Faida na hasara za tendo la ndoa kwa wanandoa





Tendo la ndoa ni njia ya kujamiana kati ya mwanaume na mwanamke kwa waliohalalishwa kisheria, kidini na kimira


Faida
Huimarisha kinga ya mwili sababu ni moja ya mazoezi kufanya mwili kuwa imara

Husaidaia wanandoa kama sehemu ya mazoezi maana kufanya mwili kusafirisha damu na oxygen sehemu mbalimbali za mwili

Hupunguza uwezekano wa kupata magonjwa kwa wanandoa husika kwa sababu ya kinga kuwa juu

Kupunguza msongo wa mawazo au stress kwa wana familia

Husaidia kupunguza matatizo ya shinikizo la damu kwa maana kwamba husaidia kusukuma damu vizur

Husaidia uzalishaji mzuri wa homoni kutoka na hisia mnazozisikia wakati wa tendo na kumsaidia kupunguza maumivu ya mgongo na uchovu

Husaidia kupunguza mafuta  ya mwilini kama korestron

Huchangamsha ubongo na kufanya akili  kuwa changamfu

Kupunguza sumu  mwilini kutokana  na kwa njia ya jasho

Huimalisha upendo kwa wanandoa

Kupunguza uwezekano wa kupata tatizo la tezi dume  kwa asilimia flani

Husaidia kupata watoto kwa wanandoa

Kupunguza kupata kisukari kwa kiwango flani

Huwasaidia watu wasio pata usingizi kupata usingizi

Je niwakati gani unashauriwa kufanya tendo la ndoa kama ilivyo kawaida mtu akisikia kiu ya maji hunywa kwa wakati anapojisikia kiu

Hufanyika muda wowote pale wanandoa wanapo huwa na kiu  ya kushiriki
 
Kiafya unashauriwa kwa wanandoa kufanya angalau mara ngapi?

Mara tatu kwa wiki na unaruhusiwa kufanya Kila siku

Madhara

Kusababisha msongo wa mawazo

Huleta mgogoro wakimahusiano kwa wanandoa

Huleta chuki ya kufanya tendo la ndoa na kuharibika kwa ndoa

Kukosa watoto

Hupoteza hamasa ya tendo kwa wanandoa


Ahsante

No comments

Powered by Blogger.